Anasema"
Sanaa
inaweza kuwa ajira kama ajira zingine, sanaa ina uwezo mkubwa wa
kukupatia wewe msanii mafanikio makubwa kifedha na vile vile kuchangia
kwenye pato la taifa. Sanaa pia ni njia bora ya kuhifadhi na kuendeleza
tamaduni zetu. Haya yote yanawezekana endapo wasanii watatia bidii
katika kazi zao na serikali kulinda maslahi ya wasanii.
Nikiwa Morogoro nilipata nafasi ya kukutana na Wasanii wa tasnia ya filamu Mkoani humo na tukazungumza mengi. Kikubwa nilichoondoka nacho ni kwamba wasanii hawa ni wenye vipaji mahiri na wenye nia ya kuendeleza tasnia hiyo."
Nikiwa Morogoro nilipata nafasi ya kukutana na Wasanii wa tasnia ya filamu Mkoani humo na tukazungumza mengi. Kikubwa nilichoondoka nacho ni kwamba wasanii hawa ni wenye vipaji mahiri na wenye nia ya kuendeleza tasnia hiyo."
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni