GEITA WAJITOKEZA KWA MAELFU KUMFHAMINI MH.MEMBE
Nilipowasili
Geita, wenyeji wangu wa Geita walijiunga nami katika msafara kuelekea
ofisi za CCM Wilaya ya Geita kama njia yao ya kuonyesha ushirikiano na
kunikaribisha Wilayani humo. Asanteni sana Geita kwa mapokezi yenu na
shukrani za dhati kwa udhamini mkubwa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni