Twende na Bernard Membe Kwa Mabadiliko ya Uhakika

Twende na Bernard Membe Kwa Mabadiliko ya Uhakika
Twende na Bernard Membe Kwa Mabadiliko ya Uhakika

Jumatano, 1 Julai 2015

GEITA WAJITOKEZA KWA MAELFU KUMFHAMINI MH.MEMBE


Nilipowasili Geita, wenyeji wangu wa Geita walijiunga nami katika msafara kuelekea ofisi za CCM Wilaya ya Geita kama njia yao ya kuonyesha ushirikiano na kunikaribisha Wilayani humo. Asanteni sana Geita kwa mapokezi yenu na shukrani za dhati kwa udhamini mkubwa.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni